Habari Zote
windows8

WINDOWS8 INA NINI KIPYA

Nimekuwa nacheki  mfumo endeshi  wa Windows8 ukitoka rasmi kwa ajili ya matumizi  itaku wa na nini. Kwa watumiaji wa kawaida ukipenda unaweza kuipakua Widnows8  na kuitahmini kwenye tovuti ya Microsoft .  Na  kwa watalaam wa kati na juu  wa fani ya IT wanaweza kupakua developerSoma-zaidi
Simu ya samsung galaxy S3

Simu za Samsung Galaxy

kampuni ya korea Samsung  inakuja  kwa kasi kwenye  kwenye kutengeneza  simu. Hivi karibuni  wamezidiua  model mpya ya simu Galaxy S3. Ni muendelezo  wa Simu za Samsung Galaxy baada ya ile  S2   Je ina tofauiti  gani na model  mtangulizi wake   yaaani Galaxy  S2  TathminiSoma-zaidi
JK

Baraza la mawaziri na umuhimu wa viongozi kuelewa TEKNOHAMA

JK Rais wetu mheshiwa kaamua  kuunda baraza la mawaziri upya.Kuna umuhimu wa mawaziri viongozi kuelewa  TEKNOHAMA na sayansi na teknoloia nyingine zilizpo karne hii. Kwa hiyo usishangaeUtashangaa inakuwaje  blog  ya  Teknohama bongo inaaaza kuleta habari za Siasa.  Katika BlogSoma-zaidi
Nokia-asha

NOKIA ASHA simu YA BEI NAFUU

Katika kukidhi kiu ya wapenda “gadget” lakini wasiotaka kutumia mkwanjwa mkubwa kununua simu za bei mkubwa (High end)kama Nokia Lumia Nokia wamekuja Model ya  Nokia asha. Simu za Nokia  Asha zinaelezwa kuwa na feature kama Apps zilizokwenye baadhi ya smartphone maarufuSoma-zaidi
iphone-5

Apple na Kali zao 2012

Mwaka 2011  tulishhudia  mambo kama chromebook, Google+, iPhone 4s, iPad,Samsung Galaxy Note  na vifaa vingne vingine  vya elektroniki  kama Blue Ray Disk player,nk . Makampuni kama Google, Apple,Yahoo,Facebook yako busy situ kwenye teknolojia bali hata kufikishana mahakamaniSoma-zaidi
barcavsReal

Barcelona Walivyochapwa na Real Madrid

Nilipata muda wa kutazama mechi ya  Real naBarcelna . Zaidi ya upinzani wa jadi kama wa hapa kwetu  Tanzania kati ya simba na yanga mechi hii ndio  ilikuwa kama muamuzi wa ubingwa wa la liga msimu huuutawenda wapi .Kama mpenda soka nitajarbu kuichambua kifundi na kitaalam. UkitofautianaSoma-zaidi
Olympus-TG-1

OLYMPUS Tough ina kinga nne

Kampuni ya Olympus wametoa   Digital camera mpya kwa  jina  la Olympus Tough  amabyo ina kinga nne Kwa  watu wonapenda kuchuua chukua picha za matukio na zaidi kwa wale  wanatafuta  digital kamera amabyo anajua itaumika na watu wengi kwenye familia basi   kamera hii inawezakuwachaguasahihiSoma-zaidi
WinPhone

Microsoft wanatoa ruzuku kwa watengeza app.

Habari hii inaweza kuwa fursa  kwa maprogramer wa Tanzania au  afrika mashariki .  Kampuni  ya microsoft  inatoa ruzuku ya pesa kwa Devloper ili watengeneze  app  za simu  za windows kutengeneza apps ya simu za kiasasa ni gharama na kwa mujibu  wa baadhi ya   mitandao Soma-zaidi
joomla v-25

JOOMLA! 1.5 inafikia tamati sasa ipo 2.5

Katika  moja  ya uchunguzi wa mitandao    niliowai kufanya  niibaini tovuti za  baadhi ya taasisi nyeti na  kubwa kubwa  na blog chache zinazopendwa hapa bongo zinatumia Joomla! toleo la 1.5.  Mfano wa taasisi hizi ni kama NSSF ,TRA  TBC . Toleo jipya la 2015 lipo toka JanuarySoma-zaidi
mfano Wa algorith kutumia yezo ya flow chart

KUJIANDAA NA USAHILI WA KITENIKI

Usahili ni moja ya changamto katika kusaka ajira.   Hivi karibuni nimekuwa  nikipita pitia vitabu mbali mbali hasa vinayohusiana na mambo ya TEKNOHAMA. Na chapisho hii habari kwa ufupi ni juu   ya kitabu kimoja  kanachoeleza  na kudadavua  USAHILI(Interview) za kitaalam  naSoma-zaidi
© 2012 Teknohama Bongo. haki zote zimehifadiwa. muendesha blog · Entries RSS · Comments RSS
Informtation is power